Skip to content

JINSI YA TZ

Tovuti hii inakuletea maarifa na mwongozo wa kina kuhusu masuala mbalimbali ya maisha.

  • Home
  • ELIMU
  • AJIRA
  • AFYA
  • MAHUSIANO
  • BIASHARA
  • TEKNOLOJIA
  • SHERIA
  • Toggle search form
  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya kuuza bidhaa kupitia Jumia BIASHARA
  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya kuandika na kuuza makala BIASHARA
  • Tajiri wa Kwanza Duniani 2025 (Mali zake) MITINDO
  • Jinsi ya Kupika Ugali Laini na Mtamu MAPISHI
  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya ufugaji wa samaki BIASHARA
  • Msimamo wa Championship Tanzania 2024/2025
    Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025 – Ligi Daraja la Kwanza MICHEZO
  • Style Tamu za Kufanya Mapenzi (Tamu) MAHUSIANO
  • Sifa za Kujiunga na Chuo Kikuu cha Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMUCo) ELIMU

Nafasi za Kazi Mwalimu Daraja la IIIA (Teacher Grade IIIA) (Nafasi 3,018)

Posted on October 17, 2025 By admin No Comments on Nafasi za Kazi Mwalimu Daraja la IIIA (Teacher Grade IIIA) (Nafasi 3,018)

Nafasi za Kazi Mwalimu Daraja la IIIA (Nafasi 3,018), Nafasi za Kazi Teacher Grade IIIA: 3,018 positions, Ajira mpya za Teacher Grade IIIA

Katika jitihada za kuimarisha sekta ya elimu nchini, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imetangaza nafasi 3,018 za Mwalimu Daraja la IIIA. Hii ni fursa adhimu kwa walimu wenye sifa kujiunga na utumishi wa umma na kuchangia katika kuwajenga viongozi wa baadaye wa taifa.

Majukumu ya Kazi Mwalimu Daraja la IIIA atawajibika na shughuli zifuatazo:

  • Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa Kazi.
  • Kutengeneza na kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia.
  • Kufundisha, kufanya tathmini na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya wanafunzi.
  • Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi shuleni na darasani.
  • Kusimamia malezi ya wanafunzi kiakili, kimwili, kiroho na kutoa ushauri nasaha.
  • Kusimamia utunzaji wa vifaa na mali za shule.
  • Kufundisha na kusimamia Elimu ya Watu Wazima.
  • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Mkuu wa Shule.

Sifa za Mwombaji

  • Mwombaji awe na Cheti cha Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne.
  • Awe amefaulu mafunzo ya Ualimu ya miaka miwili (2) kutoka Vyuo vya Ualimu vinavyotambuliwa na Serikali na kutunukiwa Cheti cha Ualimu Daraja la A.

Ngazi ya Mshahara

  • TGTS-B
    Jinsi ya Kuomba na Masharti ya Jumla
  • Mwisho wa Maombi: Tarehe ya mwisho ya kutuma maombi ni 29 Oktoba, 2025.
  • Mfumo wa Maombi: Maombi yote lazima yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) unaopatikana kwa anwani: https://portal.ajira.go.tz/. Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu huu hayatafikiriwa.
  • Viambatisho Muhimu: Waombaji wote wanapaswa kuambatanisha CV yenye taarifa za kutosha, nakala za vyeti vya taaluma na cheti cha kuzaliwa vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.
  • Uraia na Umri: Waombaji wote lazima wawe Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45, isipokuwa kwa wale walioko tayari kazini serikalini.
  • Kumbuka: “Testmonials”, “Provisional Results”, na “Statement of results” HAVITAKUBALIWA.
AJIRA Tags:Mwalimu Daraja la IIIA, Teacher Grade IIIA

Post navigation

Previous Post: Nafasi za Kazi Afisa Muuguzi Msaidizi Daraja la II (Nafasi 3,945)
Next Post: Nafasi za Kazi Dereva Daraja la II (Nafasi 427) Driver Grade II

Related Posts

  • JWTZ Yatangaza Nafasi za Kujiunga na Jeshi
    JWTZ Yatangaza Nafasi za Kujiunga na Jeshi 2025 AJIRA
  • Jinsi ya kuwezesha akaunti ya ZanAjira Portal (zanzibar ajira portal) AJIRA
  • Novena ya Kuomba Kazi
    Novena ya Kuomba Kazi AJIRA
  • Jinsi ya Kujisajili kwenye Ajira Portal Tanzania
    Jinsi ya Kujisajili kwenye Ajira Portal Tanzania AJIRA
  • Matokeo ya Usaili wa Kuandika 2025 
    Matokeo ya Usaili wa Kuandika 2025  AJIRA
  • Walioitwa Kazini Kutoka Usaili wa Sekta ya Umma
    Walioitwa Kazini Kutoka Usaili wa Sekta ya Umma – Tarehe 17 Aprili, 2025 AJIRA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KURASA MUHIMU

  • Andika Makala Nasi
  • Jinsi ya Kutumia JinsiyaTZ
  • Jiunge na Jarida Letu
  • Kategoria za Maudhui
  • Kuhusu Sisi
  • Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara
  • Sera ya Faragha
  • Sera ya Vidakuzi
  • Shirikiana na JinsiyaTZ
  • Tangaza Nasi
  • Ushuhuda wa Wasomaji
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi 
  • Nafasi za Kazi Msaidizi wa Afya Daraja la II (Nafasi 1,588)
  • Nafasi za Kazi Dereva Daraja la II (Nafasi 427) Driver Grade II
  • Nafasi za Kazi Mwalimu Daraja la IIIA (Teacher Grade IIIA) (Nafasi 3,018)
  • Nafasi za Kazi Afisa Muuguzi Msaidizi Daraja la II (Nafasi 3,945)
  • Nafasi 17,710 za Ajira Mpya MDAs & LGAs
    Nafasi 17710 za Ajira Mpya MDAs & LGAs-Ajira Utumishi wa Umma

  • Link za Magroup ya Malaya WhatsApp Ubungo 2025 MAHUSIANO
  • Link za Magroup ya Madem Wanaojiuza MAHUSIANO
  • ABC Online Booking
    ABC Online Booking (Kata Tiketi) SAFARI
  • Sifa za Kujiunga National College of Tourism Arusha ELIMU
  • Jinsi ya kutumia kitunguu saumu kutibu fangasi ukeni AFYA
  • Jinsi ya kuanza biashara ya mtaji wa 50,000 (elfu hamsini) BIASHARA
  • Matokeo ya Usaili Halmashauri Mbalimbali 2025: Sekretarieti ya Ajira (PSRS) AJIRA
  • Sifa za Kujiunga na Chuo Kikuu cha Rabininsia Memorial University of Health and Allied Sciences (RMUHAS) ELIMU

KATEGORIA

  • AFYA
  • AJIRA
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • DINI
  • ELIMU
  • HUDUMA KWA WATEJA
  • JIFUNZE
  • KILIMO
  • MAHUSIANO
  • MAPISHI
  • MICHEZO
  • MITINDO
  • SAFARI
  • SHERIA
  • SIASA
  • TEKNOLOJIA
  • UFUGAJI
  • Uncategorized
  • UREMBO

ASILIMIA

Overall Rating
5.0

Rating

Copyright © 2025 JINSI YA TZ.

Powered by PressBook News WordPress theme