Skip to content

JINSI YA TZ

Tovuti hii inakuletea maarifa na mwongozo wa kina kuhusu masuala mbalimbali ya maisha.

  • Home
  • ELIMU
  • AJIRA
  • AFYA
  • MAHUSIANO
  • BIASHARA
  • TEKNOLOJIA
  • SHERIA
  • Toggle search form
  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya kuuza mafuta ya magari na pikipiki BIASHARA
  • Jinsi ya Kuomba Kazi Jeshi la Magereza 2025
    Jinsi ya Kuomba Kazi Jeshi la Magereza 2025 Kupitia ajira.magereza.go.tz AJIRA
  • Link za Magroup ya Malaya WhatsApp Ubungo 2025 MAHUSIANO
  • Sifa za Kujiunga na Kigamboni City College of Health and Allied Sciences (KICCOHAS) ELIMU
  • ABC Online Booking
    ABC Online Booking (Kata Tiketi) SAFARI
  • Jinsi ya Kuangalia Deni la TRA Online Bure: Mwongozo Kamili wa Ukaguzi wa Madeni ya Kodi JIFUNZE
  • Sifa za Kujiunga na Chuo cha Ualimu Vikindu ELIMU
  • Sifa za Kujiunga na Kozi ya Udaktari (Doctor of Medicine) Tanzania 2025/2026 ELIMU

Nafasi za Kazi Dereva Daraja la II (Nafasi 427) Driver Grade II

Posted on October 17, 2025 By admin No Comments on Nafasi za Kazi Dereva Daraja la II (Nafasi 427) Driver Grade II

Nafasi za Kazi Dereva Daraja la II (Nafasi 427), Nafasi za Kazi, Driver Grade II with 427 positions., Ajira mpya za Driver Grade II

Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia Watanzania wenye sifa nafasi 427 za kazi ya Dereva Daraja la II. Hii ni fursa kwa madereva wenye weledi na uzoefu kujiunga na taasisi za umma na kutoa mchango wao katika kurahisisha utendaji kazi wa serikali.

Majukumu ya Kazi Dereva aliyeajiriwa atakuwa na majukumu yafuatayo:

  • Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wake.
  • Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi.
  • Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari.
  • Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali.
  • Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari.
  • Kufanya usafi wa gari.
  • Kufanya kazi nyingine atakazoelekezwa na msimamizi wake.

Sifa za Mwombaji

  • Mwombaji awe amehitimu Kidato cha Nne (Form IV) na kuwa na Cheti cha Mtihani wa Kidato cha Nne.
  • Awe na Leseni ya Daraja la ‘E’ au ‘C’ ya uendeshaji magari.
  • Awe na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali.
  • Awe amehudhuria mafunzo ya Msingi ya Uendeshaji Magari (Basic Driving Course) kutoka VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

Ngazi ya Mshahara

  • TGOS A
    Jinsi ya Kuomba na Masharti ya Jumla
  • Mwisho wa Maombi: Tarehe ya mwisho ya kutuma maombi ni 29 Oktoba, 2025.
  • Mfumo wa Maombi: Maombi yote lazima yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) unaopatikana kwa anwani: https://portal.ajira.go.tz/. Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu huu hayatafikiriwa.
  • Viambatisho Muhimu: Waombaji wote wanapaswa kuambatanisha CV yenye taarifa za kutosha, nakala za vyeti vya taaluma na cheti cha kuzaliwa vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.
  • Uraia na Umri: Waombaji wote lazima wawe Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45, isipokuwa kwa wale walioko tayari kazini serikalini.
  • Kumbuka: “Testmonials”, “Provisional Results”, na “Statement of results” HAVITAKUBALIWA.
AJIRA Tags:Dereva Daraja la II

Post navigation

Previous Post: Nafasi za Kazi Mwalimu Daraja la IIIA (Teacher Grade IIIA) (Nafasi 3,018)
Next Post: Nafasi za Kazi Msaidizi wa Afya Daraja la II (Nafasi 1,588)

Related Posts

  • MENEJA WA LOGISTIKI, ENGIE ENERGY ACCESS (TANZANIA) APRILI 2025
    MENEJA WA LOGISTIKI, ENGIE ENERGY ACCESS (TANZANIA) APRILI 2025 AJIRA
  • Novena ya Kuomba Kazi
    Novena ya Kuomba Kazi AJIRA
  • TANGAZO LA AJIRA: UNITRANS TANZANIA LIMITED
    TANGAZO LA AJIRA: UNITRANS TANZANIA LIMITED – APRILI 2025 AJIRA
  • Jinsi ya Kupata Kazi Mapema (kwa Watafuta Ajira) AJIRA
  • MENEJA WA MPANGO WA KUPUNGUZA MADHARA
    MENEJA WA MPANGO WA KUPUNGUZA MADHARA – MEDECINS DU MONDE (MdM) AJIRA
  • AFISA TEHAMA (ICT) DARAJA II, UDUMISHI WA VIFAA (HARDWARE MAINTENANCE) KCMC UNIVERSITY AJIRA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KURASA MUHIMU

  • Andika Makala Nasi
  • Jinsi ya Kutumia JinsiyaTZ
  • Jiunge na Jarida Letu
  • Kategoria za Maudhui
  • Kuhusu Sisi
  • Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara
  • Sera ya Faragha
  • Sera ya Vidakuzi
  • Shirikiana na JinsiyaTZ
  • Tangaza Nasi
  • Ushuhuda wa Wasomaji
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi 
  • Link za Magroup ya X WhatsApp Tanzania Girl (18+) 2025
  • Magroup Ya ngono (Link za Magroup ya Ngono)
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Iringa WhatsApp 2025
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Mbeya WhatsApp 2025
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Dodoma WhatsApp 2025

  • Vyuo vya Ualimu GEITA (Ngazi ya Cheti na Diploma) ELIMU
  • Jinsi ya Kuongeza Hamu ya Kusoma Katika Shule ELIMU
  • Link za Magroup ya Wachumba WhatsApp Tanzania 2025 MAHUSIANO
  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya kuuza ebooks mtandaonii BIASHARA
  • Sifa za Kujiunga na Chuo Kikuu cha St. Augustine University of Tanzania (SAUT) ELIMU
  • Jinsi ya Kufanya Uke Uwe na Joto
    Jinsi ya Kufanya Uke Uwe na Joto MAHUSIANO
  • Matokeo ya Darasa la Saba Mkoa wa Kagera 2025/2026 ELIMU
  • Link za Magroup ya WhatsApp Tanzania 2025 (Jiunge hapa) MAHUSIANO

KATEGORIA

  • AFYA
  • AJIRA
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • DINI
  • ELIMU
  • HUDUMA KWA WATEJA
  • JIFUNZE
  • KILIMO
  • MAHUSIANO
  • MAPISHI
  • MICHEZO
  • MITINDO
  • SAFARI
  • SHERIA
  • SIASA
  • TEKNOLOJIA
  • UFUGAJI
  • Uncategorized
  • UREMBO

ASILIMIA

Overall Rating
5.0

Rating

Copyright © 2025 JINSI YA TZ.

Powered by PressBook News WordPress theme