Skip to content

JINSI YA TZ

Tovuti hii inakuletea maarifa na mwongozo wa kina kuhusu masuala mbalimbali ya maisha.

  • Home
  • ELIMU
  • AJIRA
  • AFYA
  • MAHUSIANO
  • BIASHARA
  • TEKNOLOJIA
  • SHERIA
  • Toggle search form
  • Vyuo vya Ualimu wa Nursery ELIMU
  • Gharama za Leseni ya Biashara
    Gharama za Leseni ya Biashara (Ada za Leseni za Biashara Tanzania) BIASHARA
  • Jinsi ya Ku-scan QR Code kwa Kutumia Kamera ya Simu (Android & iOS) TEKNOLOJIA
  • Vyuo vya Ualimu KAGERA (Ngazi ya Cheti na Diploma) ELIMU
  • Matokeo ya Darasa la Saba Mkoa wa Iringa 2025/2026 ELIMU
  • Vyuo vya Tourism Tanzania ELIMU
  • Ngasere Bus Dodoma Namba za Simu, Tiketi
    Ngasere Bus Dodoma Namba za Simu, Tiketi JIFUNZE
  • Faida za kitunguu saumu kwa mwanamke AFYA

Nafasi za Kazi Msaidizi wa Afya Daraja la II (Nafasi 1,588)

Posted on October 17, 2025 By admin No Comments on Nafasi za Kazi Msaidizi wa Afya Daraja la II (Nafasi 1,588)
Nafasi za Kazi Msaidizi wa Afya Daraja la II (Nafasi 1,588), Nafasi za Kazi Health Assistant Grade II: 1,588 positions, Ajira mpya za Health Assistant Grade IIOfisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inatoa fursa kwa Watanzania wenye sifa za kutosha kuomba nafasi 1,588 za Msaidizi wa Afya Daraja la II. Huu ni wito kwa wale wote wenye shauku ya kuboresha afya ya jamii kuanzia ngazi ya msingi, kujiunga na utumishi wa umma na kuleta mabadiliko chanya.

Majukumu ya Kazi

Msaidizi wa Afya atakuwa na jukumu la kutekeleza shughuli mbalimbali za afya ya mazingira na kinga, ikiwemo:

  • Kuchukua sampuli za maji na chakula na kuzipeleka kwa afisa afya mazingira.
  • Kutambua na kuweka kumbukumbu ya vyanzo vya maji.
  • Kuhamasisha jamii kujenga na kutumia vyoo bora.
  • Kusaidia kuelimisha jamii kuhusu tabia njema za usafi.
  • Kutoa taarifa za milipuko ya magonjwa kwa mkuu wake wa kazi.
  • Kufanya ukaguzi wa nyumba kwa nyumba, pamoja na nyumba za biashara.
  • Kusimamia sheria ndogondogo za afya ya mazingira.
  • Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na elimu na ujuzi wake.

Sifa za Mwombaji

Ili kuweza kuomba nafasi hii, mwombaji anapaswa kuwa na sifa zifuatazo:

  • Awe mhitimu wa kidato cha nne.
  • Awe na cheti cha mafunzo ya Msaidizi wa Afya au Fundi Sanifu Afya Mazingira kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.
Ngazi ya Mshahara

Mshahara kwa kada hii upo katika ngazi ya TGHS A.

Jinsi ya Kuomba na Masharti ya Jumla

  • Mwisho wa Maombi: Tarehe ya mwisho ya kutuma maombi ni 29 Oktoba, 2025.
  • Mfumo wa Maombi: Maombi yote lazima yatumwe kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) unaopatikana kwa anwani: https://portal.ajira.go.tz/. Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu huu hayatafikiriwa.
  • Viambatisho Muhimu: Waombaji wote wanapaswa kuambatanisha CV yenye taarifa za kutosha, nakala za vyeti vya taaluma na cheti cha kuzaliwa vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.
  • Uraia na Umri: Waombaji wote lazima wawe Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45, isipokuwa kwa wale walioko tayari kazini serikalini.
  • Kumbuka: “Testmonials”, “Provisional Results”, na “Statement of results” HAVITAKUBALIWA.
AJIRA Tags:Msaidizi wa Afya Daraja la II

Post navigation

Previous Post: Nafasi za Kazi Dereva Daraja la II (Nafasi 427) Driver Grade II
Next Post: Matokeo ya Kidato cha Pili ya Mwaka 2024/2025 (FTNA 2024)

Related Posts

  • Jinsi ya Kuomba Kazi Jeshi la Magereza 2025
    Jinsi ya Kuomba Kazi Jeshi la Magereza 2025 Kupitia ajira.magereza.go.tz AJIRA
  • Jinsi ya Kutuma Maombi Jeshi la JWTZ
    Jinsi ya Kutuma Maombi Jeshi la JWTZ Application 2025 AJIRA
  • Orodha ya Walimu Walioitwa Kazini
    Orodha ya Walimu Walioitwa Kazini 2025/2026 Kupitia Ajira Portal AJIRA
  • Matokeo ya Usaili wa Kuandika 2025 
    Matokeo ya Usaili wa Kuandika 2025  AJIRA
  • Magroup ya Ajira WhatsApp Tanzania 2025 (Linki) AJIRA
  • Novena ya Kuomba Kazi
    Novena ya Kuomba Kazi AJIRA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KURASA MUHIMU

  • Andika Makala Nasi
  • Jinsi ya Kutumia JinsiyaTZ
  • Jiunge na Jarida Letu
  • Kategoria za Maudhui
  • Kuhusu Sisi
  • Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara
  • Sera ya Faragha
  • Sera ya Vidakuzi
  • Shirikiana na JinsiyaTZ
  • Tangaza Nasi
  • Ushuhuda wa Wasomaji
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi 
  • Link za Magroup ya X WhatsApp Tanzania Girl (18+) 2025
  • Magroup Ya ngono (Link za Magroup ya Ngono)
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Iringa WhatsApp 2025
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Mbeya WhatsApp 2025
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Dodoma WhatsApp 2025

  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya kuuza vifaa vya michezo BIASHARA
  • Kirefu cha TIN Number: Maana Kamili na Umuhimu Wake kwa Kodi Tanzania JIFUNZE
  • Jinsi ya ku-root simu (rooting an Android phone). TEKNOLOJIA
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Iringa WhatsApp 2025 MAHUSIANO
  • Jinsi ya Kupika Wali wa Pilipili Hoho MAPISHI
  • App za Kukata Tiketi Mtandaoni Tanzania 2025 ELIMU
  • Makato ya Lipa kwa HaloPesa: Ada za Muamala (Fees) kwa Mteja na Mfanyabiashara (2025) JIFUNZE
  • Jinsi ya kuweka akiba (Uhuru wa Kifedha) JIFUNZE

KATEGORIA

  • AFYA
  • AJIRA
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • DINI
  • ELIMU
  • HUDUMA KWA WATEJA
  • JIFUNZE
  • KILIMO
  • MAHUSIANO
  • MAPISHI
  • MICHEZO
  • MITINDO
  • SAFARI
  • SHERIA
  • SIASA
  • TEKNOLOJIA
  • UFUGAJI
  • Uncategorized
  • UREMBO

ASILIMIA

Overall Rating
5.0

Rating

Copyright © 2025 JINSI YA TZ.

Powered by PressBook News WordPress theme