TANGAZO LA AJIRA: KUITWA KAZINI UTUMISHI APRILI, 2025
Jina Waliolitwa Kazini UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira za Umma (PSRS) 2025
UTUMISHI, chombo cha serikali kinachohusika na usajili na uteuzi wa waajiriwa katika sekta mbalimbali za utumishi wa umma, imetangaza nafasi za kazi kwa wananchi wa Tanzania. Hii ni fursa kubwa kwa wale wanaotaka kujiunga na utumishi wa umma.
Sekretarieti ya Ajira za Umma (PSRS) ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya 2002 (iliyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya 2007), na ina wajibu wa kusimamia mchakato wa usajili wa waajiriwa katika sekta ya umma.
Kuitwa Kazini UTUMISHI – Je, Ni Nini?
Huu ni utangazaji wa PSRS kuhusu nafasi za kazi zilizowazi katika idara mbalimbali za serikali kama vile:
- Afya
- Elimu
- Ustawi wa jamii
- Na sekta nyinginezo
Mchakato wa usajili unajumuisha:
- Maombi
- Uchambuzi wa vyeti
- Uthibitishaji wa majina
- Kuitwa kazini
Namna ya Kuangalia Kama Umetajwa Kwenye Orodha
Ili kujua kama jina lako limo kwenye orodha ya walioitwa kazini:
- Tembelea tovuti rasmi ya PSRS: www.ajira.go.tz
- Angalia sehemu ya “Matangazo ya Ajira” au “Walioitwa Kazini”
- Pata orodha ya majina yaliyotangazwa
Orodha ya Majina Yaliyotangazwa (Aprili, 2025)
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI – Taasisi Mbalimbali za Umma (17-04-2025)
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI – Walimu na Kada Mbalimbali (09-04-2025)
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI – Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (02-04-2025)
Viungo Muhimu
- Portal ya Ajira UTUMISHI: https://www.ajira.go.tz
- Matangazo ya Kuitwa Kazini Tamisemi
- Maelezo zaidi kuhusu usajili
Huu ni wakati wa furaha kwa wale walioitwa kwenye nafasi za UTUMISHI. Kama jina lako limo kwenye orodha, hongera! Kama bado, usikate tamaa endelea kufuatilia fursa zijazo na ujifunze kuwa bora zaidi. Kila la heri katika safari yako ya kazi!
Mambo ya msingi kuzingatia:
✔ Hakikisha unaangalia mara kwa mara tovuti rasmi ya PSRS kwa sasisho.
✔ Usisahau kuchapisha nakala ya barua yako ya kuitwa kwa ajili ya uthibitisho.
✔ Kama una maswali, wasiliana na PSRS kupitia ukurasa wao maalumu.
Jiunge na magroup yetu ya whatsapp kwa matangazo mengine ya Ajira- Whatsapp
Mapendekezo Mengine;
- Jinsi ya Kujisajili TaESA (Shirika la Huduma za Ajira Tanzania)
- Jinsi ya Kujisajili kwenye Ajira Portal Tanzania
- Jinsi ya Kutuma Maombi ya Ajira katika Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
- Nafasi za Kazi Kupitia Ajira Portal, Serikalini na Utumishi wa Umma 2025
- Jinsi ya Kupata Kazi Mapema (kwa Watafuta Ajira)
- Majina ya walioitwa kazini Sekta ya Afya 2025 TAMISEMI
- Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2025/2026 TAMISEMI