KIKOSI Cha Yanga vs KVZ FC 26 April 2025; Klabu ya Yanga SC itatangaza kikosi chake kuelekea mchezo muhimu wa Robo Fainali ya Kombe la Muungano 2025 dhidi ya KVZ FC utakaopigwa Uwanja wa Gombani, Zanzibar, kuanzia saa 1:15 usiku. Kikosi rasmi kinachotangazwa na klabu (matchday squad) kawaida hutolewa saa chache kabla ya mechi
Taarifa ya Mechi
-
Timu: KVZ FC vs Yanga SC
-
Tarehe: 26 Aprili 2025
-
Muda: Saa 1:15 Usiku
-
Uwanja: Gombani Stadium, Zanzibar
-
Mashindano: Kombe la Muungano – Robo Fainali
Kwa ajili ya taarifa zaidi endelea kufatilia ukurasa wetu..
Makala zingine soma;
- MATOKEO Yanga vs KVZ FC 26 April 2025
- Faini ya Ally Kamwe, Wanachama wa Yanga Wachanga Haraka Milioni 5
- Yanga Yamuweka Mezani Ofa Nono Feisal Fei Toto Kuziba Pengo la Aziz Ki
- Wafungaji Bora NBC Premier League 2024/2025: Ushindani Mkali wa Mabao