KIKOSI Cha Yanga vs KVZ FC
KIKOSI Cha Yanga vs KVZ FC

KIKOSI Cha Yanga vs KVZ FC 26 April 2025

KIKOSI Cha Yanga vs KVZ FC 26 April 2025; Klabu ya Yanga SC itatangaza kikosi chake kuelekea mchezo muhimu wa Robo Fainali ya Kombe la Muungano 2025 dhidi ya KVZ FC utakaopigwa Uwanja wa Gombani, Zanzibar, kuanzia saa 1:15 usiku. Kikosi rasmi kinachotangazwa na klabu (matchday squad) kawaida hutolewa saa chache kabla ya mechi

Taarifa ya Mechi

  • Timu: KVZ FC vs Yanga SC

  • Tarehe: 26 Aprili 2025

  • Muda: Saa 1:15 Usiku

  • Uwanja: Gombani Stadium, Zanzibar

  • Mashindano: Kombe la Muungano – Robo Fainali

Kwa ajili ya taarifa zaidi endelea kufatilia ukurasa wetu..

Makala zingine soma;

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *