Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili INEC Dar es Salaam 2025
Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeanza kuratibu mchakato wa usaili kwa ajili ya watumishi wa muda katika Mkoa wa Dar es Salaam. Waombaji kazi ambao walituma maombi yao katika Halmashauri za Kinondoni, Ilala, Temeke, Ubungo, na Kigamboni wanashauriwa kufuatilia kwa karibu matangazo yanayotolewa na ofisi za Wasimamizi wa Uchaguzi katika maeneo yao.
Orodha za majina ya wanaoitwa kwenye usaili zinatolewa kwa awamu na kubandikwa kwenye mbao za matangazo za Halmashauri husika pamoja na tovuti zao rasmi. Ni muhimu kwa kila mwombaji kuhakikisha anatazama taarifa hizi ili kujua tarehe, mahali, na muda wa usaili wake.
Jinsi ya Kupata Orodha ya Majina (PDF) kwa Mkoa wa Dar es Salaam
Kwa sasa, hakuna kiungo kimoja cha pamoja (centralized link) kwa Mkoa mzima wa Dar es Salaam. Kila Halmashauri inatoa orodha yake kivyake. Ili kupata orodha ya majina, unashauriwa kutembelea tovuti rasmi ya Halmashauri uliyoomba kazi.
Hapa chini ni viungo vya tovuti za Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam ambapo unaweza kupata matangazo ya usaili:
- Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni: Tembelea Hapa
- Halmashauri ya Manispaa ya Ilala: Tembelea Hapa
- Halmashauri ya Manispaa ya Temeke: Tembelea Hapa
- Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo: Tembelea Hapa
- Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni: Tembelea Hapa
MAENEO MENGINE ANGALIA HAPA
| Na. | Jina la Halmashauri/Jimbo | Kiungo cha Kupakua Orodha (PDF) |
| 1. | Halmashauri ya Rombo | |
| 2. | Manispaa ya Bukoba Mjini | |
| 3. | Manispaa ya Newala Mjini | |
| 4. | Halmashauri ya Lindi Mjini | |
| 5. | Jimbo la Dodoma Mjini | |
| 6. | Wilaya ya Kisarawe | |
| 7. | Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo | |
| 8. | Jimbo la Lulindi na Ndanda | |
| 9. | Jimbo la Mbeya Vijijini | |
| 10. | Jimbo la Mtumba | |
| 11. | Halmashauri ya Mbulu | |
| 12. | Musoma Vijijini | |
| 13. | Wilaya ya Nkasi | |
| 14. | Wilaya ya Korogwe | |
| 15. | Pangani | |
| 16. | Kilosa | |
| 17. | Jimbo la Hai | |
| 18. | Jimbo la Kasulu Vijijini | |
| 19. | Mtwara Mjini | |
| 20. | Tabora Mjini | |
| 21. | Mkuranga | |
| 22. | Buhigwe | |
| 23. | Kibaha Vijijini | |
| 24. | Kibiti | |
| 25. | Nanyamba | |
| 26. | Same Magharibi | |
| 27. | Lushoto | |
| 28. | Gairo | |
| 29. | Babati | |
| 30. | Mafia |
Tafadhali bofya kwenye kiungo cha Halmashauri yako na tafuta sehemu ya “Matangazo” au “Habari” ili kupakua faili la PDF lenye majina ya walioitwa kwenye usaili.
Maelekezo Muhimu kwa Wanaoitwa Kwenye Usaili
Iwapo utapata jina lako kwenye orodha, hakikisha unazingatia yafuatayo:
- Vyeti Halisi: Andaa na fika na vyeti vyako vyote halisi (original certificates), vikiwemo cheti cha kuzaliwa, vyeti vya elimu (kidato cha nne/sita), na vyeti vya taaluma.
- Kitambulisho: Ni lazima uwe na kitambulisho halali kinachotambuliwa kiserikali (k.m., Kitambulisho cha Taifa – NIDA, Kadi ya Mpiga Kura, Leseni ya Udereva).
- Muda na Mahali: Hakikisha unajua kwa usahihi tarehe, saa, na eneo la usaili wako na fika mapema.
- Picha: Baadhi ya Halmashauri huhitaji picha ndogo (passport size), hivyo ni vema kuwa nazo.
Endelea kufuatilia vyanzo rasmi vya habari kwa taarifa zaidi.