Nafasi za Kazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania na jinsi ya Kutuma Maombi
Nafasi za Kazi katika Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania kwa Mwaka 2025/2026 Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania limetoa tangazo rasmi la ajira mpya kwa mwaka 2025/2026, likiwalenga vijana wa Kitanzania wenye sifa stahiki kujiunga na jeshi hilo muhimu katika kuhakikisha usalama wa raia na mali zao dhidi ya majanga ya moto na dharura…
