Sifa za Kujiunga na Shahada ya Kwanza ya Sheria Tanzania
Sifa za Kujiunga na Shahada ya Kwanza ya Sheria Tanzania Shahada ya Kwanza ya Sheria (Bachelor of Laws – LL.B) ni moja ya programu za elimu ya juu zinazotolewa na vyuo vikuu vya umma na binafsi nchini Tanzania, chini ya usimamizi wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU). Kozi hii inalenga kuwandaa wataalamu wa sheria…
