Sifa za Kujiunga na Kozi ya Pharmacy Tanzania 2025/2026
Sifa za Kujiunga na Kozi ya Pharmacy nchini Tanzania 2025/2026 Kozi ya Pharmacy ni mojawapo ya kozi zinazohitajika sana nchini Tanzania kutokana na umuhimu wake katika sekta ya afya. Wanafunzi waliomaliza kozi hii wanaweza kufanya kazi katika hospitali, maduka ya dawa, viwanda vya dawa, taasisi za utafiti, au hata kufungua maduka yao ya dawa binafsi….
Read More “Sifa za Kujiunga na Kozi ya Pharmacy Tanzania 2025/2026” »