Jinsi ya Kurenew Leseni ya Udereva Tanzania
Jinsi ya Kurenew Leseni ya Udereva Tanzania Leseni ya udereva huwa na muda maalum wa matumizi, kwa kawaida kati ya miaka 1 hadi 3, kulingana na aina ya leseni. Baada ya kipindi hicho, dereva anapaswa kufanya upya leseni (renewal) ili aendelee kuendesha kihalali barabarani. Kutoifanya upya ni kosa kisheria na kunaweza kusababisha adhabu au gari…