Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano Mkoa wa Mbeya 2025/2026
Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano Mkoa wa Mbeya; Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetangaza rasmi majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Kwa wanafunzi waliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2024 na kuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika mkoa wa Mbeya, sasa wanaweza kuangalia majina…
Read More “Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano Mkoa wa Mbeya 2025/2026” »