Tajiri wa Kwanza Duniani 2025 (Mali zake)
Tajiri wa Kwanza Duniani 2025: Elon Musk na Himaya yake ya Kifedha Mwaka wa 2025 umeleta mabadiliko makubwa katika orodha ya matajiri duniani, lakini jina moja limeendelea kumudu kilele: Elon Musk. Mfanyabiashara huyu wa Marekani mwenye asili ya Afrika Kusini, mwenye umri wa 53, amethibitishwa na jarida la Forbes kuwa tajiri wa kwanza duniani, akiwa…