Sifa za Kujiunga na Vyuo vya Afya Tanzania
Sifa za Kujiunga na Vyuo vya Afya Tanzania Vyuo vya afya nchini Tanzania, vya serikali na visivyo vya serikali, vinatoa mafunzo ya ngazi ya cheti na diploma kwa wale wanaotaka kuwa wataalamu wa afya kama wafamasia, wauguzi, wataalamu wa maabara, madaktari wa meno, na wataalamu wa mazingira, nactvet.go.tz. Kozi hizi zinasimamiwa na Baraza la Taifa la…