Skip to content

JINSI YA TZ

Tovuti hii inakuletea maarifa na mwongozo wa kina kuhusu masuala mbalimbali ya maisha.

  • Home
  • ELIMU
  • AJIRA
  • AFYA
  • MAHUSIANO
  • BIASHARA
  • TEKNOLOJIA
  • SHERIA
  • Toggle search form
  • TANESCO Huduma kwa Wateja: Mawasiliano ya Mikoa Mikuu – Dodoma, Mwanza na Kigoma HUDUMA KWA WATEJA
  • Jinsi ya Kufungua Simu Uliyosahau Password au Pattern TEKNOLOJIA
  • Matokeo ya Darasa la Saba Mkoa wa Rukwa 2025/2026 ELIMU
  • Jinsi ya Kupata Mkopo kwa Riba Nafuu BIASHARA
  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya kilimo cha kahawa na chai BIASHARA
  • Sifa za Kujiunga na Musoma Utalii College, Shinyanga ELIMU
  • Kitunguu Saumu ni Dawa ya Fangasi Ukeni?
    Kitunguu Saumu ni Dawa ya Fangasi Ukeni? Uchunguzi wa Kina AFYA
  • Link za Magroup ya Malaya Telegram Tanzania 2025 MAHUSIANO
Walioitwa Kazini Kutoka Usaili wa Sekta ya Umma

Walioitwa Kazini Kutoka Usaili wa Sekta ya Umma – Tarehe 17 Aprili, 2025

Posted on April 17, 2025 By admin No Comments on Walioitwa Kazini Kutoka Usaili wa Sekta ya Umma – Tarehe 17 Aprili, 2025

TANGAZO: Walioitwa Kazini Kutoka Usaili wa Sekta ya Umma – Tarehe 17 Aprili, 2025

Dodoma, 17 Aprili 2025 — Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetoa tangazo rasmi la kuitwa kazini kwa waombaji kazi waliofaulu usaili uliofanyika kati ya tarehe 02 Septemba 2024 hadi 18 Februari 2025, pamoja na wale waliokuwa kwenye kanzidata (Database) waliopangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kuibuka.

Kwa mujibu wa tangazo hilo, waombaji wote waliofaulu wanapaswa kuchukua barua zao za kupangiwa kituo cha kazi ndani ya siku saba kuanzia tarehe ya tangazo (yaani kuanzia leo), katika ofisi za Sekretarieti ya Ajira zilizopo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwenye majengo ya Dkt. Asha-Rose Migiro. Baada ya muda huo, barua ambazo hazitachukuliwa zitatumwa kwa wahusika kupitia anuani zao za Posta.

Aidha, wahitimu wote wanatakiwa kuripoti kwa waajiri wao kwa muda uliobainishwa kwenye barua hizo, wakiwa na vyeti halisi vya masomo kwa ajili ya uhakiki kabla ya kupewa barua ya ajira rasmi. Kwa wale ambao majina yao hayapo kwenye tangazo hili, inathibitishwa kuwa hawakufanikiwa kupata nafasi kwa wakati huu — lakini wanahimizwa kuendelea kuomba nafasi pindi zitakapojitokeza.

MUHIMU:

Wanaokuja kuchukua barua wanapaswa kuwa na mojawapo ya vitambulisho vifuatavyo kwa ajili ya utambuzi:

  • Kitambulisho cha Uraia (NIDA)

  • Hati ya Kusafiria

  • Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi

  • Kitambulisho cha Mpiga Kura

  • Leseni ya Udereva

Tangazo linajumuisha majina ya walioitwa kutoka halmashauri mbalimbali kama vile Wanging’ombe, Njombe, Tandahimba, Mbarali, Mbogwe, Pangani, Kishapu, Newala, pamoja na taasisi kama Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC). Kada zilizohusika ni pamoja na walimu wa masomo mbalimbali, maafisa afya, wauguzi, mafamasia, maafisa sheria, na wateknolojia wa maabara.

Kwa orodha kamili ya majina ya walioitwa kazini, tafadhali [bofya hapa kupakua PDF kamili] na uone kama jina lako limo kwenye orodha hiyo 👉  PDF

Jiunge na magroup yetu ya whatsapp kwa matangazo mengine ya Ajira- Whatsapp

Mapendekezo Mengine;

  • Jinsi ya Kujisajili TaESA (Shirika la Huduma za Ajira Tanzania)
  • Jinsi ya Kujisajili kwenye Ajira Portal Tanzania
  • Jinsi ya Kutuma Maombi ya Ajira katika Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
  • Nafasi za Kazi Kupitia Ajira Portal, Serikalini na Utumishi wa Umma 2025
  • Jinsi ya Kupata Kazi Mapema (kwa Watafuta Ajira)
  • Majina ya walioitwa kazini Sekta ya Afya 2025 TAMISEMI
  • Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2025/2026 TAMISEMI
AJIRA Tags:Kishapu, Mbarali, Mbogwe, Newala, Njombe, Pangani, Tandahimba, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)., Wanging'ombe

Post navigation

Previous Post: Majina ya walioitwa kazini Sekta ya Afya 2025 TAMISEMI
Next Post: TANGAZO LA AJIRA: KUITWA KAZINI UTUMISHI APRILI, 2025

Related Posts

  • Matokeo ya Usaili wa Ajira TRA 2025 (Waliofaulu Usaili)
    Matokeo ya Usaili wa Ajira TRA 2025 (Waliofaulu Usaili) AJIRA
  • Jinsi ya Kujisajili Ajira Portal
    Jinsi ya Kujisajili Ajira Portal (Rahisi sana) AJIRA
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI UTUMISHI LEO, 2025 AJIRA
  • Jinsi ya Kuomba Kazi Jeshi la Magereza 2025
    Jinsi ya Kuomba Kazi Jeshi la Magereza 2025 Kupitia ajira.magereza.go.tz AJIRA
  • Sala ya Kiislamu Kuomba Kupata Kazi
    Sala ya Kiislamu Kuomba Kupata Kazi AJIRA
  • Ajira Portal login (Kuingia Kwenye Ajira Portal)
    Ajira Portal login (Kuingia Kwenye Ajira Portal) AJIRA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KURASA MUHIMU

  • Andika Makala Nasi
  • Jinsi ya Kutumia JinsiyaTZ
  • Jiunge na Jarida Letu
  • Kategoria za Maudhui
  • Kuhusu Sisi
  • Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara
  • Sera ya Faragha
  • Sera ya Vidakuzi
  • Shirikiana na JinsiyaTZ
  • Tangaza Nasi
  • Ushuhuda wa Wasomaji
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi 
  • Link za Magroup ya X WhatsApp Tanzania Girl (18+) 2025
  • Magroup Ya ngono (Link za Magroup ya Ngono)
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Iringa WhatsApp 2025
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Mbeya WhatsApp 2025
  • Link za Magroup ya Malaya Connection Dodoma WhatsApp 2025

  • Sifa za Kujiunga na Mwangaria Institute of Agriculture and Livestock, Moshi ELIMU
  • Link za Magroup ya WhatsApp ya Mahusiano Tanzania 2025 MAHUSIANO
  • Jinsi ya Kuangalia Namba ya Leseni ya Udereva Tanzania SAFARI
  • NHIF Huduma kwa Wateja Namba za Simu (2025): Mawasiliano Rasmi na Msaada wa Bima ya Afya Tanzania JIFUNZE
  • Mikopo ya Haraka Online ELIMU
  • Biashara ya Duka la Rejareja
    Leseni ya Biashara ya Duka la Rejareja, Utaratibu, Gharama na Faida BIASHARA
  • Jinsi ya kuanzisha biashara ya kuuza manukato BIASHARA
  • Jinsi ya Kukata na Kushona Shingo ya V (Mishono) MITINDO

KATEGORIA

  • AFYA
  • AJIRA
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • DINI
  • ELIMU
  • HUDUMA KWA WATEJA
  • JIFUNZE
  • KILIMO
  • MAHUSIANO
  • MAPISHI
  • MICHEZO
  • MITINDO
  • SAFARI
  • SHERIA
  • SIASA
  • TEKNOLOJIA
  • UFUGAJI
  • Uncategorized
  • UREMBO

ASILIMIA

Overall Rating
5.0

Rating

Copyright © 2025 JINSI YA TZ.

Powered by PressBook News WordPress theme