Skip to content

JINSI YA TZ

Tovuti hii inakuletea maarifa na mwongozo wa kina kuhusu masuala mbalimbali ya maisha.

  • Home
  • ELIMU
  • AJIRA
  • AFYA
  • MAHUSIANO
  • BIASHARA
  • TEKNOLOJIA
  • SHERIA
  • Toggle search form
  • Vifurushi vya Yas (Zamani Tigo) na Bei Zake 2025 HUDUMA KWA WATEJA
  • Sifa za Kujiunga na Chuo cha VETA-Kipawa Information and Communication Technology (ICT) Centre Dar es Salaam ELIMU
  • Sifa za Kujiunga na Chuo Kikuu cha St. Joseph University in Tanzania (SJUIT) ELIMU
  • Mfano wa Leseni ya Biashara Tanzania BIASHARA
  • Sifa za Kujiunga na Kozi ya Uuguzi nchini Tanzania ELIMU
  • Yanga Yamuweka Mezani Ofa Nono Feisal "Fei Toto" Kuziba Pengo la Aziz Ki
    Yanga Yamuweka Mezani Ofa Nono Feisal “Fei Toto” Kuziba Pengo la Aziz Ki MICHEZO
  • Sifa za Kujiunga na Kozi ya Diploma ya Sheria nchini Tanzania 2025/2026 ELIMU
  • NBC huduma kwa wateja contact number HUDUMA KWA WATEJA
Wanafunzi wa Kidato cha Sita Waliochaguliwa JKT

Wanafunzi wa Kidato cha Sita Waliochaguliwa JKT 2025/2026

Posted on May 27, 2025 By admin No Comments on Wanafunzi wa Kidato cha Sita Waliochaguliwa JKT 2025/2026

Wanafunzi wa Kidato cha Sita Waliochaguliwa JKT 2025/2026, Orodha Yametoka!

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza rasmi orodha ya wanafunzi wa kidato cha sita waliomaliza mwaka 2025 walioteuliwa kujiunga na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria kwa mwaka 2025/2026. Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabele, amewaalika wahitimu wote wa 2025 kutoka shule za Tanzania Bara kushiriki katika mafunzo haya ya kujenga uzalendo, umoja wa kitaifa, na stadi za maisha.

Maelezo ya Kuripoti

Vijana walioteuliwa wanatakiwa kuripoti makambini waliyopangiwa kuanzia 28 Mei 2025 hadi 8 Juni 2025. Wahitimu wenye ulemavu wa kuonekana kwa macho wametakiwa kuripoti katika Kambi ya JKT Ruvu iliyopo Mlandizi, Mkoani Pwani, ambayo ina miundombinu ya kuwahudumia.

Makambi ya JKT

Vijana wamepangiwa makambi mbalimbali nchini kama inavyoonekana kwenye jedwali hili:

Mkoa Makambi ya JKT
Mara Rwamkoma
Tabora Msange
Pwani Ruvu, Kibiti
Dodoma Mpwapwa, Makutupora
Iringa Mafinga
Ruvuma Mlale
Tanga Mgambo, Maramba
Arusha Makuyuni, Orjolo
Kigoma Bulombora, Kanembwa, Mtabila
Songwe Itaka
Rukwa Luwa, Milundikwa
Lindi Nachingwea

Vifaa Vinavyohitajika

Vijana wanatakiwa kuleta vifaa vifuatavyo makambini:

Kifaa Maelezo
Suruali Rangi ya bluu dark blue, mpira kiunoni, urefu hadi magotini, mfuko mmoja nyuma, bila zipu
Jezi Rangi ya kijani
Viatu vya Michezo Rangi ya kijani au bluu
Shuka za Kulalia Mbili, rangi ya bluu bahari
Soksi Ndefu, rangi nyeusi
Nguo za Kuzuia Baridi Kwa mikoa yenye baridi
Tracksuit Rangi ya kijani au bluu
Nyaraka za Elimu Cheti cha kuzaliwa, vyeti vya kidato cha nne, n.k.
Nauli Ya kwenda na kurudi makambini

Jinsi ya Kuangalia Majina

Ili kujua kambi uliyopangiwa:

  1. Tembelea tovuti rasmi ya JKT: www.jkt.mil.tz.
  2. Ingiza jina au namba ya shule uliyohitimu kidato cha sita.
  3. Bofya neno “Waliochaguliwa” ili kuona majina, kambi iliyopangiwa, na eneo lake.
  4. Pakua faili ya JKT PDF 2025 iliyopo juu kulia kwenye tovuti kwa orodha kamili.

Kwa Nini JKT ni Muhimu?

Mafunzo ya JKT ni fursa ya kipekee kwa vijana:

  • Kujengewa uzalendo na umoja wa kitaifa.
  • Kupata stadi za kazi na maisha.
  • Kujiandaa kulitumikia na kulijenga taifa.

Meja Jenerali Mabele anawasihi vijana walioteuliwa kuchangamkia fursa hii ya kujifunza na kuchangia maendeleo ya Tanzania.

Jiandae Sasa!

Ikiwa wewe ni mwahitimu wa kidato cha sita mwaka 2025, angalia jina lako kwenye tovuti rasmi ya JKT, jitayarishe na vifaa vinavyohitajika, na ujiunge na safari hii ya kujenga mustakabali wako na taifa lako!

Chanzo: Taarifa Rasmi ya JKT, 27 Mei 2025
Link Rasmi ya Majina: www.jkt.mil.tz

ELIMU Tags:Waliochaguliwa JKT

Post navigation

Previous Post: Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na JKT 2025 Yametoka!
Next Post: Sifa za Kujiunga na Ununio College of Health and Allied Sciences, Dar es Salaam

Related Posts

  • Sifa za Kujiunga na Chuo cha Walimu Korogwe 2025/2026 ELIMU
  • Sifa za Kujiunga na Chuo cha Stella Maris Mtwara University College (STeMMUCo) ELIMU
  • Sifa za Kujiunga na Chuo cha St. Joseph University College of Health and Allied Sciences (SJCHAS) ELIMU
  • Chuo cha DABAGA Institute of Agriculture (Kilolo, Iringa): Sifa na Udahili ELIMU
  • Sifa za Kujiunga na Chuo Kikuu cha St. Joseph University in Tanzania (SJUIT) ELIMU
  • Sifa za Kujiunga na Kigamboni City College of Health and Allied Sciences (KICCOHAS) ELIMU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KURASA MUHIMU

  • Andika Makala Nasi
  • Jinsi ya Kutumia JinsiyaTZ
  • Jiunge na Jarida Letu
  • Kategoria za Maudhui
  • Kuhusu Sisi
  • Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara
  • Sera ya Faragha
  • Sera ya Vidakuzi
  • Shirikiana na JinsiyaTZ
  • Tangaza Nasi
  • Ushuhuda wa Wasomaji
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi 
  • Magroup Ya ngono (Link za Magroup ya Ngono)
  • Link za Magroup ya Malaya Telegram Tanzania 2025
  • Link za Magroup ya Malaya Connection WhatsApp Dar es Salaam 2025
  • Malaya group link (Magroup ya Malaya WhatsApp)
  • WhatsApp Group za Malaya Tanzania
    WhatsApp Group za Malaya Tanzania 2025

  • KIKOSI Cha Yanga vs KVZ FC
    KIKOSI Cha Yanga vs KVZ FC 26 April 2025 MICHEZO
  • Maisha na Safari ya Soka ya Mudathir Yahya MICHEZO
  • Satco Online Booking
    Satco Online Booking (Kata Tiketi) SAFARI
  • Magroup ya Ajira WhatsApp Tanzania 2025 (Linki) AJIRA
  • Jinsi ya Kujisajili TaESA (Shirika la Huduma za Ajira Tanzania) AJIRA
  • Sifa za Kujiunga na Chuo Kikuu cha University of Arusha (UoA) ELIMU
  • Sifa za Kujiunga na Kozi ya Shahada ya Elimu (Bachelor of Education)Tanzania ELIMU
  • TRC Online Booking
    TRC Online Booking (Huduma za SGR Tanzania) SAFARI

KATEGORIA

  • AFYA
  • AJIRA
  • BIASHARA
  • BURUDANI
  • DINI
  • ELIMU
  • HUDUMA KWA WATEJA
  • JIFUNZE
  • MAHUSIANO
  • MAPISHI
  • MICHEZO
  • MITINDO
  • SAFARI
  • SHERIA
  • SIASA
  • TEKNOLOJIA
  • UREMBO

ASILIMIA

Overall Rating
5.0

Rating

Copyright © 2025 JINSI YA TZ.

Powered by PressBook News WordPress theme